Thursday, January 10, 2013

MKULIMA WA KOROSHO KIJIJI CHA MTUA NACHINGWEA

Halima Chinguile akiwa na baadhi ya magunia na viroba vilivyojazwa korosho katika Kijiji cha Mtua Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi.Wakulima wa Korosho Nachingwea bado hawajalipwa pesa walizokopesha korosho ghalani mpaka sasa.

0 comments:

Post a Comment