Mama

Nani kama Mama .

Afya ya Mimba

Mwanamke anayetaka kubeba mimba anashauriwa aache kunywa pombe na kuvuta sigara.

Mama na Mtoto

Mazingira mazuri ya Afya ni Moja ya njia ya kuepuka matatizo ya mama wakati wa kujifungua.

Tuwalinde watoto

watoto 200 kati ya 100,000 wanapoteza maisha wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa, idadi hii ya vifo ni kubwa sana hapa nchini Tanzania.

Karibu kwenye blog hii kwa Habari za Afya ya Mama na Mtoto.

Kufikia mwaka 2010, takwimu zilikuwa zinaonesha kwamba kila wanawake 454 katika vizazi hai 100,000 walikuwa wanapoteza maisha wakati wa ujauzito au kujifungua kwa matatizo mbalimbali ya uzazi.

watoto 200 kati ya 100,000 wanapoteza maisha wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa, idadi hii ya vifo ni kubwa sana hapa nchini Tanzania..

Monday, December 31, 2012

Ubunifu kwa Vijana Nachingwea


Ubunifu kwa Vijana Nachingwea
Juma Athumani akiendesha Baiskel ilifungwa kwenye kigogo ili kupata speed ya kusukuma mashine ya kukereza, John Molise akikereza mguu wa kitanda, kwa siku anakereza seti mbili kila seti ni sh. 10,000. ubunifu huo vijana hawa wameupata kutokana na kijiji cha Mbondo Kata ya Mbondo Wilaya ya Nachingwea Mkoa wa Lindi kukosa umeme toka kijiji kimeanzishwa.

MOJA YA JENGO LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NACHINGWEA

MOJA YA JENGO LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NACHINGWEA