Thursday, February 28, 2013

RAHA ILIOJE KUANGALIA KICHANGA

Malaika huyu ana saa mbili tu baada ya kuzaliwa na  Nyangeta Chacha (29) katika hospitali ya mkoa wa Mara, mtoto ana uzito wa  kilo 3 mama wa mtoto anaishi mtaa wa nyakato katika wilaya ya Musoma mjini mkoa wa Mara. Hospitali hiyo imejengwa mwaka 1932 na kuanza kazi kama kituo cha afya mwaka 1933, lakini kwa sasa inakabiliwa na upungufu wa wauguzi mahitaji ni wauguzi 200.

0 comments:

Post a Comment