Friday, February 22, 2013

AJIRA KWA MTOTO BADO KITENDAWILI KISICHOPATIWA JIBU?

Saa 4:00 asubuhi muda wa shule mtoto anachunga ng'ombe na mbuzi katika kijiji cha Mugundu wilaya Iramba mkoa wa Singida, nani atalimaliza hili?

0 comments:

Post a Comment