Sunday, March 3, 2013

MALARIA INAVOMALIZA WATOTO BUNDA

Mwajuma Ramadhani mtoto wa miaka miwili na mwezi mmoja akiwa katika hali mbaya kwa kuumwa ugonjwa Malaria, Winifrida Chales mama wa Mwajuma akiwa amemkamata huku Dokta Msimu Michel akijitahidi kumpima mtoto huyo katika kituo cha afya cha Manyamanyama wilaya ya Bunda mkoa wa Mara,Ugonjwa wa Malaria ni tishio kwa watoto mbalimbali katika wilaya hiyo, asilimia 42 ya watoto wote wanaofikishwa katika zahanati, kituo cha afya na hospitali katika wilaya hiyo wanaumwa malaria ila dawa za kutibu  ugonjwa huo mpaka sasa hazipo katika wilaya hiyo.

0 comments:

Post a Comment