Thursday, February 28, 2013

HUU NDIO USAFIRI WA MJAMZITO BUTIAMA

Dereva Bajaji Malegesi Malegesi  akiwa kazini katika kijiji cha Rwamkoma akitokea Butiama Mjini, usafiri huo kwa abiria analipa nauli ya sh. 15,00 lakini kwa mjamzito akikodi analipa sh. 15,000 kutoka Rwamkoma mpaka katika hospitali ya wilaya ya Butiama mkoa wa Mara.

Usafiri huo sio salama kwa wajawazito katika kijiji hicho chenye wakazi zaidi ya 5000 na kila mwezi wanapokea wajawazito kuanzi 10 hadi 15 ambao wanamatatizo ya uzazi na wanahitaji usafiri wa kwenda hospitali.

0 comments:

Post a Comment