Thursday, April 4, 2013

UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA MTWARA WAKAZI WACHOTA MAJI YA MTO NANGOO

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nangoo wakichota maji kwa matumizi ya nyumbani katika mto wa Nangoo uliopo katika wilaya ya Masasi mkoa wa Mtwara, tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama katika mkoa huo ni tatizo sugu ambalo mpaka sasa bado halijapatiwa ufumbuzi wake. Maji wanayotumia wakazi wakijiji hicho na wakazi wa kijiji cha jirani sio safi na salama, dumu moja la maji hayo linauzwa kati ya shilingi 5,00 hadi shilingi 1,000.

0 comments:

Post a Comment