"Nimeanza biashara ya kuuza viatu vya aina mbalimbali kwa muda wa miaka 3 sasa, biashara ni nzuri napata pesa ya kujikimu na familia yangu, kabla ya kuja hapa sokoni mchikichini nilikuwa mtaani tuu nakabakaba watu huko kwetu Masasi Mtwara, lakini kwa sasa nimeacha ukabaji kwa sababu napata pesa ya kutosha katika biashara ya kuuza viatu, kwa siku napata mpaka Tshs. 80,000 biashara ikiwa nzuri kama biashara mbaya napa Tshs.30,000 kwa siku," alisema Salumu Manzi.
Saturday, January 12, 2013
MAANDALIZI YA SHULE YA PAMBA MOTO JIJINI DAR
"Nimeanza biashara ya kuuza viatu vya aina mbalimbali kwa muda wa miaka 3 sasa, biashara ni nzuri napata pesa ya kujikimu na familia yangu, kabla ya kuja hapa sokoni mchikichini nilikuwa mtaani tuu nakabakaba watu huko kwetu Masasi Mtwara, lakini kwa sasa nimeacha ukabaji kwa sababu napata pesa ya kutosha katika biashara ya kuuza viatu, kwa siku napata mpaka Tshs. 80,000 biashara ikiwa nzuri kama biashara mbaya napa Tshs.30,000 kwa siku," alisema Salumu Manzi.
No comments:
Post a Comment