Mama

Nani kama Mama .

Afya ya Mimba

Mwanamke anayetaka kubeba mimba anashauriwa aache kunywa pombe na kuvuta sigara.

Mama na Mtoto

Mazingira mazuri ya Afya ni Moja ya njia ya kuepuka matatizo ya mama wakati wa kujifungua.

Tuwalinde watoto

watoto 200 kati ya 100,000 wanapoteza maisha wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa, idadi hii ya vifo ni kubwa sana hapa nchini Tanzania.

Karibu kwenye blog hii kwa Habari za Afya ya Mama na Mtoto.

Kufikia mwaka 2010, takwimu zilikuwa zinaonesha kwamba kila wanawake 454 katika vizazi hai 100,000 walikuwa wanapoteza maisha wakati wa ujauzito au kujifungua kwa matatizo mbalimbali ya uzazi.

watoto 200 kati ya 100,000 wanapoteza maisha wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa, idadi hii ya vifo ni kubwa sana hapa nchini Tanzania..

Wednesday, January 30, 2013

WAKULIMA WA KOROSHO LINDI NA MTWARA WAPONEA BAKARI KICHWA

Wakulima wa Korosho katika Mikoa ya Lindi na Mtwara wako katika hali mbaya ya kipato, baada ya korosho walizokopesha katika stakabadhi ghalani kuanzia mwezi Octobar mwaka jana hawajalipwa mpaka sasa. "Bakari kichwa na majani ya mhogo au kisavu ndio mboga tunayokula kila siku kwa kutokana na ukata wa kukosa pesa niliyokopesha korosho toka mwaka jana, fungu la Bakari kichwa linauzwa Tshs. 1000 na Bakari kichwa mmoja anauzwa...

Monday, January 28, 2013

UKOJOAJI WA BARABARANI ULIVYOKITHIRI TANZANIA

Baadhi ya abiri wa kwenda Mikoa ya Kusini Lindi na Mtwara, wakijisaidia katika kichaka ambacho kipo karibu na barabarani katika Kijiji cha Ikwiriri Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani. Aina hii ya kujisaidia sio tuu kuchafua mazingira pia ni hatari kwa afya inachangia magonjwa ya kuambukiza. Hivi karibuni Waziri wa Uchukuzi Dr. Mwakyembe alisema kuwa, basi litakalo kamatwa linashusha abiria kwenda kujisaidia kichakani watachukuliwa...

Sunday, January 27, 2013

KUTANA NA ABIRIA WANAONING'INIZA ROHO ZAO BAHARI

Baadhi ya Abiria nilikutana nao kwenye Mtumbwi katikati ya Tanga na Wete nikielekea visiwani Wete Pemba, upakiaji wa abiria kwa kutumia Mtumbwi, Ngalawa, Mashua na Jahazi sio salama kwa wasafiri mbalimbali wanaotumia Bahari, Ziwa na Mto kusafiri. "Sio kama tunapenda kuning'iniza roho yangu kwa kupanda katika Mtumbwi na mizigo lakini kwa sababu sina pesa Tshs. 16,000 nauli ya kupanda Meli, humu nalipa Tshs. 8000 kutokana na ugumu wa maisha ndio...

Monday, January 21, 2013

MAABARA BADO NI TATIZO SUGU KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA MTWARA

Hicho ndio chumba cha darasa kinachotumika kama maabara katika shule ya sekondari Dr. Alex iliyoko katika Wilaya ya Newala katika Mkoa wa Mtwara, Wilaya hiyo ina shule za sekondari za kata 28 lakini kati ya hizo ni shule nne tuu ambazo zina majengo mbalimbali ya maabara nazo ni Nambunga, Newala day, Nangwanda na Mnyambe. "Nasoma masomo ya sayansi lakini hakuna maabara ya uhakika ya kujifunza mambo mbalimbali ya kisayansi, kama unavyoona...

SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA ZAKUMBWA NA UHABA WA MABWENI MTWARA

Mwajuma Ramadhi ni mwanafunzi wa kidato cha tatu  katika Shule ya Sekondari ya Mkoma iliyoko katika Wilaya ya Newala Mkoa wa Mtwara, anayeishi katika nyumba ya kupanga iliyoko karibu ya shule ambayo anasoma kwa mwezi analipa kodi Tshs 2500.  Pia Athumani Hamza Mwanafunzi wa Kidato cha pili anayesoma katika shule ya sekondari ya Mnyambe iliyoko katika Wilaya ya Newala, naye anaishi...

Saturday, January 19, 2013

UKOSEFU WA MAKTABA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA BADO NI TATIZO SUGU MTWARA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...